UVUMILIVU NI KITU MUHIMU SANA KATIKA MAPENZI




Habari yako msomaji wangu,,,naomba nikukumbushe kuwa katika safari ya mahusiano,,utakutana na wengi,,utawatamani wengi ila tambua katika hao wote ni mmoja tu ndo anatakiwa,,kama umempata jifunze kumtengeneza awe sawa na hitaji lako,,,katika mahusiano kama mnasikilizana na kuelewana ni rahisi sana kufika mbali,,,hivyo katika kipindi cha kujuana jitahidi kuwa na uvumilivu maana hakuna mabadiliko ya siku moja hasa ndani ya mtu,,unahitaji kimchukulia,,kumvumilia,,kumwombea na kumshauri,,wakati mwingine utakutana na changamoto please simama imara jua hilo ni daraja lako lakupita,,tianeni moyo siku zote,,mtegemeeni Mungu,,tafuteni amani,,epukeni kuhukumiana bali jifunzeni kusameheana,,hakika mtaona mkono wa Mungu na mtafurahiana. 

Comments

Popular posts from this blog

HIZI NDIZO TOP 4 ZA STAILI ZA KUFANYA MAPENZI ILI KUKUSAIDIA USIKOJOE MAPEMA

JINSI YA KUMRIDHISHA (KUMLA SAWA SAWA)MWANAMKE KITANDANI

MASWALI UNAYOWEZA KUMUULIZA MPENZI WAKO KWA MARA YA KWANZA MNAPOKUTANA