FAIDA ZA MATITI WAKATI WA KUFANYA TENDO LA NDOA




LKazi ya matiti:  
Hapa nitaongelea umuhimu wa matiti mbali na kuwa  ndio yanayoyoa chakula bora kwa mtoto wakati wa kunyonyesha.  

Hapa najikita kueleza umuhimu wa matiti  katika tendo zima la ndoa(mapenzi)  
CHUCHU za matiti ya mwanamke ni sehemu sensitive wakati wa tendo la ndoa na kama mwanaume akichezea sawasawa  hizi chuchu  humfanya mwanamke  hufika kileleni haraka na kujisikia raha wakati wa tendo la ndoa. kazi ya mwanaume hapa ni kuhakikisha kuwa anautumia vema ulimi na mdomo kwa kunyonya kimahaba.MARA NYINGI WANAWAKE HUPATA HISIA ZA HARAKA PALE WANAPOGUSWA MATITI YAO>  


 Matiti huvutia mwanaume na kumfanya  awe na hamu ya tendo la ndoa na pia kwa ajili ya utamu wa mwanamke mwenyewe (pleasure) anapoguswa  kwa mikono ya MAHABAwakati wa tendo la ndoa. Hapa ikumbukwe kuwa kuna maeneo mengine yenye kuleta msisimko kwa mwanamke wakati wa tendo la ndoa kwa mwanamke kama vile (uke,kisimi, mapaja,miisho ya miguuna mikono masikio n.k) cha msingi ni kumjua vyema mpenzi wako.  

 Utafiti uliofanywa na chuo kikuu cha Vienna  unaonesha kuwa wanawake wenye matiti madogo hufaidi zaidi kwa kuinjoi  kuliko wale wenye matiti yenye umbo kubwa sana  

Comments

Popular posts from this blog

HIZI NDIZO TOP 4 ZA STAILI ZA KUFANYA MAPENZI ILI KUKUSAIDIA USIKOJOE MAPEMA

JINSI YA KUMRIDHISHA (KUMLA SAWA SAWA)MWANAMKE KITANDANI

MASWALI UNAYOWEZA KUMUULIZA MPENZI WAKO KWA MARA YA KWANZA MNAPOKUTANA